Ripoti nyingi zilizotoka mwaka 2000 zimedhibitisha kwamba wine nyekundu zinafaida kubwa kiafya hasa kusaidia katika kupambana na magonjwa yanayohusu mzunguko wa damu na magonjwa ya moyo.
Showing posts with label NEWS. Show all posts
Showing posts with label NEWS. Show all posts
Tuesday, September 15, 2015
Thursday, September 3, 2015
LIST OF PERMITTED FOOD PRESERVATIVES AND PERMITTED LEVELS

A preservative is a substance that is added to products such as foods, pharmaceuticals, paints, biological samples, wood,
Saturday, August 29, 2015
WHY DO WE NEED PROBIOTIC DRINKS

Sunday, August 23, 2015
DEPRESSION

Depression is an episode of sadness or apathy along with other symptoms that lasts at least two consecutive weeks and is severe enough to interrupt daily activities. Depression is
Tuesday, August 18, 2015
PIPI ZENYE BANGI ZAUZWA NCHINI KENYA

chunguzi umefanyika nchini Kenya ambapo sampuli zipatazo 176 za pipi maarufu, keki na maandazi zilipimwa na
Saturday, August 15, 2015
NYAMA YA PUNDA YAZUA KIZAA ZAA DODOMA

Thursday, August 13, 2015
THE CHINES PRESIDENT CALL FOR AN INVESTIGATION
SIKU 64 ZA MTIFUANO

Zikiwa zimesalia siku tisa kuanza kwa kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka huu, kuna dalili za wazi kuwa vyama
NLD ;" UKAWA HAUNA MANUFAA"
UAMUZI wa umoja wa vyama vinne vya upinzani nchini (UKAWA) wa kuachiana majimbo, umezua balaa mkoani
Wednesday, August 12, 2015
TBS: TAARIFA KWA UMMA NA WAAGIZAJI WA MAGARI TOKA NJE YA NCHI

Shirika la viwango Tanzania (TBS) lilianzisha huduma ya kukagua magari yaliyotumika kutoka nje ya nchi tangu mwaka wa 2002. Lengo ni kuhakikisha magari yaliyotumika
Sunday, August 9, 2015
CCM VITI MAALUMU; WALIOSHINDA NA WALIOSHINDWA
UCHAGUZI wa Wabunge wa Viti Maalum umeleta sura nyingi mpya huku baadhi ya vigogo wakiwemo Maua Daftari, Alshaymaa Kweigy, Magreth Mkanga na Shyrose Bhanji
Saturday, August 8, 2015
TETESI ZA DR. SLAA KURUDI OFISINI ZAWAFANYA MAMIA KUKUSANYIKA

Mamia ya wanachama na mashabiki wa Chadema jana walifika katika ofisi za Makao Makuu ya chama hicho, Kinondoni Dar es Salaam kumsubiri Katibu Mkuu, Dk Willbrod Slaa baada
NEW JOB: RESTLESS DEVELOPMENT TANZANIA
Closing date: 5pm (EAT) on 19th August.
Length of Contract & Conditions: 1 year with the possibility of an extension
Salary: TZS 22,718,717 per annum (gross)
CHENGE AWA MWIBA KWA SEKRETARIETI YA MAADILI

BARAZA la Sekretariati ya Maadili Tanzania imetoa siku tatu kuwasilisha faili la madai kwa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Andrew Chenge anaeshutumiwa kupokea sh1.6
ZITTO: "WASALITI WA UPINZANI SIYO ACT-MAENDELEO"

KIONGOZI Mkuu wa ACT Wazalendo, Kabwe Zitto amewataka Watanzania wasikubali kugeuzwageuzwa kama chapati na baadhi ya wanasiasa wasioitakia mema Tanzania.
HUJUMA KWA UKAWA
Matukio ya hivi karibuni ya kujiuzulu kwa viongozi wakuu wawili wa vyama vikuu vya upinzania nchini vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Dk. Wilbroad Slaa
SERIKALI: "ulevi na uzembe mambo yanayochangia matukio ya uporaji silaha na mauaji ya polisi"

Serikali imesema matukio ya uporaji wa silaha na matukio ya mauaji ya askari wa Jeshi la Polisi nchini ya hivi karibuni, yanachangiwa na ulevi, uzembe katika doria pamoja na
MAALIM SEIF: "wale waliojiunga CUF kwa sababu ya Profesa, ruksa kubaki au kutoka"

Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amewataka wanachama waliokuwa wakimuunga mkono, kuamua moja, kubaki ndani ya chama hicho kama alivyoamua
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)